Aisee inasikitisha. Yaani hata aibu hawana. Wametufanya watoto wadogo. Clearly walisema tatizo ni ukame sasa wanakuja na stories nyingine. Initially hasira sana. Yaani, ninamchukia huyu waziri wa sasa Mungu anajua. Kwa wakati wake Mungu atamuondoa tu awake mtu mwingine responsible.
Mama please tuondelee kipara kwenye wizara. He is a complete disaster. Kama utaendelee kumlinda utakuwa unamkosea hata Mungu. Ametutesa sana Watanzania wa hali ya chini tunaotegemea umeme kuendesha maisha yetu.
Wewe una roho mbaya sana. Nimekuwa nikifuatilia comments zako unapenda sana wenzako waki suffer. Mruhusu Yesu aingie moyoni mwako akuondolee hiyo chuki na roho mbaya.
This is rubbish. Kuna evidence yeyote kuhusu hili? Haya matengenezo wanafanya kila mwezi? Kwani ni mara ya kwanza kusikia wakisema kuna matengenezo? Huu utawala kwa kweli hautoi ishara nzuri
Sidhani kama hilo litatokea. Maana ni kwamba itabidi baraza la mawaziri livunjwe tena. Haita make sense baada ya mabadiliko ya leo. Muwe mnasoma katiba sio kuropoka tu.
Ikimbieni zinaa biblia inasema. Literally ni kwamba kushinda zinaa ni lazima kukimbia vishawishi vya zinaa. Kaa mbali naye, futa namba yake, mheshimu Mungu na mke wako pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.