Udahili tayari umeshafunguliwa,ningependa kujua sifa kwa ngazi hizo za kada ya ualimu zinasemaje kwa mwaka huu? najua kuna wengine mtakuja na majibu ya kuwa nitafute guide book/niingie kwenye website ya NACTE.Elewa tu kwa urahisi kuwa kwangu mm hapa ni njia nyepesi zaidi ya kupata majibu kuliko...
nyegere86 unahitajika hapa mkuu,ni baada ya kupata mtonyo wako wa handicap kwa mara ya 1 nikatoka hivi
-WOLFSBERGER vs AUSTRIA WIEN,handicap 0:1 (FT 2-1)
-LOKEREN vs GENK handicap 0:1 (FT 1-1)
-TENERIFE vs LEVANTE,handicap 0:1 (FT 0-0)
-LYON vs NICE,handicap 0:1 (FT 3-3)
-RENNES vs...
Jamani league 1 ya england imeisha lkn nakuta kuna game tena 2 siku ya kesho kati ya BRADFORD vs FLEETWOOD TOWN na MILLWALL vs SCUNTHORPE,ambapo FLEETWOOD TOWN & SCUNTHORPE wote wana point 82 ila SCUNTHORPE ana good GD,na kwenye msimamo ni kwamba 3.SCUNTHORPE 82
4.FLEETWOOD TOWN 82
5.BRADFORD...
Umeota tu kipara/
Kumbe hakina busara/
Unautukuza ufukara/
Kwa ubovu wa zako sera/
Ulipowahonga lile pera/
Wakakuona ndiyo bora/
Hawakuchunguza yako sira/
Kabla hawajapiga kura/
Unajigamba kutia fora/
Ukituzwa kwa ufukura/
Mipango ya kichwara/
Taifa lakosa dira/
Uchunguzi wa masikhara/
Hali...
Umekuja kushoboka/
Sasa ukuta utaushika/
Kwanza nikuulize umesuka?
Na si ndo ww kwapa kunuka?
Fasta nitaibuka/
Nikupe zile za Ulimboka/
Hivi kwanza unakumbuka?
Vile kucha zilivyong'oka?
Fasta nitakuteka/
Kwa ujio wa kama paka/
Ha ha ha ha!
Msiwe so fast mkajiona mnaweza/
nawacheki tu kitambo/ mnavoyahusudu makombo/
tena kwa maneno ya shombo/
the don ndani ya chimbo/
niguse nikutindue na wangu mtaimbo/
we askari mgambo/
kivipi unitishe mm tembo?,
LARA1 USILETE UREMBO/
UNAPOISHI KWA MAMA WA KAMBO/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.