naomba kuuliza mtu naposoma HKL, HGK, HGE, anapofika chuo anaweza kusoma nn
maana dogo alisomea masomo ya biashara lakn akapata hivi
civ: C
His: D
Kisw: C
Eng: B
Bio: D
GEO:D
Maths: F
Comm:D
B/Keeping: F
yeye alikua anataka kusoma ECA, HGE
ushaur wenu tafadhal
watasafir tuu usihuzunike tarehe zao bado hata hal iwe ngumu vipi wachaga watasafir tuu wanawekaga bajet ya mwisho wa mwaka kuanzia mwez wa kumi watalia hal ngumu kwenye biashara lakn ukiwakuta kwao utashangaa wanavyokula bata kuanzia tarehe 15 utapata wateja
mkuu nahitaj kupanga matokea ya mtihan ambapo nimeshafanya total ila nataka mwanafunz mwenye maksi kubwa awe wakwanza kwenye page bila kuwapa namba 1,23... nitumie formula gan
sijafananisha hapo nimetoa maana ya neno demu kwa kiswahil fasaha ili hao wanaolitumia wajue kwa nn mtu hapend kuitwa hvyo
unakua umemzarau kama kitu kisichofaa cha kutupa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.