Hv mtu unaposoma subject si unaelewa kabisa hii ni mada ya nini! Sasa unaingia na ku comment ooh mada ya kike mara imekaa kimbea, we binafsi huja lazimishwa kuisoma wala kuchangia!! This is a boring habit🥱🥱🥱🥱
Kila siku ikifika saa tisa usiku mnakata hovyo umeme mtatuunguzia vifaa vyetu! Pili hizi luku zenu mpya zinakula sana umeme, umeshaona wapi mtu anatumia umeme wa elfu 10 kila baada ya siku 2???? Mi nataka mnirudishie luku system ya zamani huu ni wizi.
Hiyo ni very ignorant way thinking, kuna vipengele vya sheria vinavyo wapa haki wahusika ya ku contest the will especially cama hakukuwa na consideration. Jisomeshe kidogo sheria huwezi jua ukawa next😎
Msipo kuwa kwenye page moja ndoa inakuwa chungu balaa, hasa itokee mmoja awe mmbishi au mkorofi i.e. mkoloni. Ndugu Padre hapo yahitaji busara ya juu sana maana hawa wawili wana onekana vichwa maji.
Kipigo ni dalili ya weakness ya kutojiamini, narudia demu kazingua changanya lapa hakawii kukutilia sumu. Unajidanganya kumpiga usiku anakusubiria anakunyofoa nyeti. Au anasubiri usahau anakuundia timu ya alshabab kitaa.
Mwanaume yeyote anaye nyanyua mkono kumpiga mkewe/demu wake atakuwa na mapungufu katika malezi au mpaka yeye binafsi. Kama mapenzi yanazingua chomoa weka chuma kipya.
Ndio wabongo tulivyo, mi nikiingia sehemu nakunja sura kwanza, naongeza makonfidensi mara 100 utaona wahusika wenyewe wanaanza kukunyenyekea. Ukienda kiupole pole dharau zao wana onesha waziwazi.
Duh huyo Paroko amekuwa akilalamikiwa toka 2010! Heri wamuhamishe tu kwa usalama maana wasije waka muwinda kwa inje maana Kawe hawajui kukaushia. Na hivi ni mtu wa totoz hasa married women.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.