Boss mwenyewe alimpigia jamaa simu live, pia wanafanya biashara pamoja.Sasa wasielewane na mfanyakazi wake kisa kamtaja huyo jamaa si angeenda huko alikotaja
Kwani jamaa ameshtakiwa kwa kosa gani?
Si ameshtakiwa kwa kutumia line ambayo sio yake.Sasa kama ilo wewe unalosema ndio kosa y mashtaka hayasemi hivyo.
Kiongozi acha kabisa mzaa unakumbuka sakata la mawingu fm, Nape alivyotaka tu kumchunguza huyo jamaa na lile tukio kilichofata nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.