Tena utakuta anayekuambia uanzishe biashara yeye yupo ofisini anazunguka tuu kwenye kiti anasubiri vi laki nne vyake mwisho wa mwezi na wakichelewesha tuuu anakimbilia jf kuja kuuliza kuhusu salary,
Unakuta hata kuuza barafu hajui
Siyo unamdai wewe utakuwa mwalimu yani mnakera nyie kila mwisho wa mwezi mnaanza kujaza ujinga wenu humu,, hivi kujiongeza hakuwezi? Mpaka mtegemee hivyo vi laki?
Hivi siku serikali ikisema hailipi mtafanya nini?
Kuweni na tabiya ya kujiongeza na msitegemee salary tuu kuishi unatakiwa uwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.