Kweli unakaa jimbo la kawe? nimelkaa jimbo la kawe miaka 15 Halima ndio mbunge pekee nimemuona na akitembelea jimbo tuache siasa mama mlaki na adamjee hawajui njia ya goba
Suala lililotokea mbeya siku mbili zilizopita ni kitu hatari sana ambalo viongozi wetu tulionao naona kama wanafanyakazi kwa mazoea tuuu. Yaani nitaamka dereva atakuja kunichukua nitaenda ofisini, secretary ataniletea chai na vitumbua tutaingia kwenye kikao tutafanya maamuzi bila kufikiri...
Naamini kuna aina nyingi za management lakini hii mpya ya JK ya Management By Loitering siielewi maana anapita kila wizara ana sababisha foleni tuuu mjini bila kutoa ufumbuzi wa jambo lolote. Bora akae magogoni na awe anafungua semina na makongamano mpaka 2015 tuchague mtu mwingine.
Huko maswa imetangazwa na channel ten kuna kituo kiko 150 mts (nyalikungu) kutoka ofisi za msimamizi wa uchaguzi matokeo yake hayajamfikia msimamizi. lakini kuna box za kura zimetoka zaidi ya 50kms yameshafika. Yaleyaleeee
Wadau tangu juzi nimekuwa nikipata shida kutazama baadhi ya blogs za TZ, je inawezekana kuna kampuni zimeblock zisionekane?? blog ya francisgodwin sasa ya issamichuzi au wenyewe wamezitoa ukumbini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.