Ukiheshimu wengine lazima utaheshimiwa. Huyu wa kwetu hana adabu na anajiona yy ndo Mungu. Wanaomuheshimu na kumstahi ni wale wachache walio karibu naye sana na wanaopata chochote toka kwake ili wasikikose. Nadhani mtoa mada pia yupo kwenye hilo kundi la wachache.
Anasema hataki malumbano na familia. Kutukataza tusiongelee maswala ya Lissu, kwa tafsiri rahisi ni kwamba ametangaza malumbano na wananchi walipa kodi zinazomfanya yeye atukataze tusiongee! SHAME
Mi naunga mkono kujenga UKUTA tena kama ule wa september mosi mwaka jana uliozuwiwa na watu wanaojulikana na magari yao yanayowashwawashwa. Tehe tehe tehe .......
Mi nilikuwa hata simfahamu wakati akikaimu. Hebu tumpe muda inawezekana ni strategy yake ili ajulikane, u never know. I dont see the light at the end of the tunnel.
Jamani mmeshasahau mara hii kama sikosei shambulizi dhidi ya padre kule zanzibar mbona walikuja FBI na mtuhumiwa akapatikana mara moja kwa kukonstruct image ya mtuhumiwa iliyobakia kwenye jicho la victim.
Zero ni zero tu, yaani BASHITE will always remain costant like pi. Huyu jamaa hajawahi fanikisha jambo hata moja la maana. Ukiona hivyo ujue kuna mtu anatafutwa hapo. Wengi wasiopenda hiyo move wataelekea Pwani maeneo ya kibaha, bagamoyo na kwingineko. Watamuachia mkoa wake. Eneo walilomdhulumu...
Hizo pesa nadhani hazijatumwa kwa maelekezo toka juu. Lengo lao ni kuona TAML anakufa. Wachawi mtahangaika sana. Pray 4 Lissu. Tuendelee kumchangia shujaa wetu jamani. Msikatishwe tamaa na hawa wachawi. Hawa tumemuachia Mungu apambane nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.