Sio suala la gharama, bali watanzania ujamaa umewaharibu. Kama suala la haki za msingi za kupata Habari, si kunachanel za bure amewaachia! Ikiwemo tbc itv na ya mziki eatv na ya wanyama safari tv mnataka nini zaidi? Sula la mpira siku hizi ni suala la ki biashara na meona anatia mabilioni ya...
Habari.
Naomba ushauri kwa mwenye uzoefu wa biashara ya hadwere, nina mtaji wa 20, m nahitaji kuanza biashara hiyo. Naomba mchanganuo wake, namna ya kubalance ili itoshe.
Natamani nianze na cement, mbao, bati, na vitu nyengine vidogo vidogo vya dukani. Biashara nataka kufungulia mikoa ya...
Mkuu nimehamisha biashara. Ila pako vizuri. Ndani ya miaka miwili niliokuwa pale nimepandisha mtaji fresh tu. Sababu iliyonifanya nihame ni kutokana na usamamizi familia ipo dar
Hali ya biashara imekuwa ngumu mno, hasa maeneo yenye vibanda vingi. Pamoja na kuwa kila mtu anafuta riziki, lakini ukweli lazima tuseme. Ongezeko la watu wanaojenga viduka pembezoni mwa barabara imeuwa kabisa biashara kwa sisi tuliondani ya maduka.
Ushauri kwa serekali hivi vibanda vinaua...
Ingekuwa ni rahisi hivyo watu wote wa huko wangekuwa matajiri. Ukweli ni kwamba kila biashara haikosi changamoto. Kwanza aina hiyo ya biashara kuweka stock imepitwa na wakati. Labda kama wewe umesha develop kwamba una maduka yako ya jumla una mashine zako, ndo unaweza kufanya hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.