Imebidi nijiulize hili swali, hivi mtu mbinafsi yuko vipi? Je mimi ni mmoja wao?
Kwa mfano nikitaka kitu changu huwa sina compromise, when pursuing something huwa sijali wengine wanafikiri nini as long as I do not step on their feet, I can give up a relationship for it kama nikiona inaniwekea...
Usihofu mkuu pesa inayobanwa huku itatumika kwenye elimu, watalipwa wakandarasi wa kujenga mashule na madawati. Walimu wataboreshewa mishahara na marupurupu yao yatalipwa kwa wakati . That way pesa itarudi kwenye mzunguko na itakuwa bora sana kwa uchumi maana itakwenda mikononi mwa watu wengi...
Hivi umewahi kujua nini hasa anataka? Inawezekena unafanya kila kitu from your point of view ila bado yapo mambo muhimu zaidi kwake ambayo huyafanyi.
Mfano kwangu mimi si lazima sana kufuliwa na bibie (akiwepo) na kupikiwa sio ishu sana maana mi mwenyewe napika. Nathamini sana usafi hadi...
Ni utoto tu kujisifia na kutangaza, wakikua (kama watakuwa) wataacha.
Nafikiri kwa sauti tu, kila mwanamke ana ladha yake alafu saa nyingine kuchepuka kunaweza kuboresha mahusiano yako na njia kuu yako. Ila fanya kwa kiasi, kuwa na standard na it should be discreet!
Nilipewa kazi ya kuongea na binti mmoja, ni hivi jamaa yangu mmojaa mbaye yupo vema sana up stairs na yupo ok vya kutosha financially alikuwa Mwanza kwa kazi ya kama 18mnths. Akakapenda kabinti flani ka St Augustine jamaa akaona ngoja akapime kama kanafaa kuwa wife. Jamaa akawa anakasaidia mambo...
I beg to differ, Sokoine alikuwa na courage ya kum face Nyerere, ni kiongozi pekee wakati ule ambaye angerudi kwa Mwalimu hata mara tatu hadi Mwl amwelewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.