Mkumbuke mwingereza alipo toka Tanganyika na Kenya alikuwa bado anaitawala Zanzibar muwe na kumbukumbu ya historia sio mna bwabwaja tu na wakati huo hakuna kitu znz ilikuwa unguja na Pemba mkoloni alimuuliza kenyata hivisiwa nikuachie kenyata akavikataa visiwa vyapemba na unguja akamwita...
Dr Slaa sio kamawanavyomfikiria team lowasa yule ni msomi pia amekuwa mshauri wa uchumi katika mataifa mbalimbali apa Africa na ulaya msimfananishe kabisa na we ye digrii za kibongo
Mleta mada hanalolote magu ni waziri wa wzara 1 na mbunge wa jimbo 1 hawezi hawezi kuingilia mambo ya kitaifa sheria inambana ieleeweni sheria na vifungu vyake sio mnawanga malofa nyie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.