Kwani mkuu ni uongo kuwa chini ya utawala wa CCM serekali ilikamatwa ikisafirisha twiga kupitia uwanja wa ndege wa KIA kupeleka nje????huu uzi wako sijauelewa mkuu kwani serekali ya CCM ni mabingwa wa kutorosha twiga zetu na hili swala lilizungumzwa sana bungeni!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.