Daaah.!! Unanifanya hadi mapigo ya moyo yaende mbio broo mwendo wa mabasi ya mwendo kasi kila nisomapo mstari kwa msitari, hongera sana, kweli Kenge kakutana na likengee lenzieee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujawahi kuniangusha bro, story zako huwa nsjifunza mengi sana hadi najihisi na mie ni shushu hatari sana kama mfano wa Gamba shushu matata Barani Africa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani weee KUDO900, I SALUTE U BRO, hujawhi kuniangusha story zako za kijasusi huwa zinafunza saaana. Big up bro@@kudo900
Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
Yaani huyu bora apewe funzo. Naona angempa masaa 2 tu akanushe. Mpuuzi sana kila kukicha anahamasisha na kupandikiza chuki tu kwenye kigazeti chake cha udaku na wanamtisamaaa tu.
The Banker, hii ni story tu ya kutunga ama kuna kaharufu ka ukweli. Maana inanisizimua hadi kijasho na mapigo ya moyo kwenda mbio pale Luten Venus anapotekwa na kuwa kwenye mazingira magumu ya kutetea roho yake.!!
Hongera sana bro.!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo wahame na ubunge wao bali aliyeshika nafasi ya pili kwenye kula za maoni kwenye chama chao awe mbuge mara moja. Wanaliingiza taifa kwenye gharama za kipuuzi na ujinga mtupu.!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.