Raisi Magufuli ndiye anayehusika na kuwapiga viboko Watanzania kwani yeye Raisi ndiye Big Boss wao, acheni kutufanya wajinga, atavuna alichopanda kama anaendeleza chuki hii dhidi ya Watanzania, ...
Na kama hawajuwi haki zao je, siyo kazi ya Mahakama kuingilia na kusema hapana hatuendi hivyo Waziri anapiga Watanzania bakora ? Unafikiri waliofanyiwa unyama na ukatili huu kama wangejua kuna mahali wangeweza kwenda na kupata Haki wangekataa ? BTW ulishawahi kupiga Mnyama kama Paka au Mbwa...
Nchi nyingi huwa nasoma kwamba kwa mfano Serikali imechukuwa tuseme uamuzi x Wananchi wa hiyo nchi wanapinga wanakwenda Mahakamani kushitaki kwamba uamuzi huo ni kinyume na Katiba ya nchi yao, Mahakama inaamua na kutengua huo uamuzi wa Serikali na Serikali kutii, sijui kama hilo linawezekana...
Magufuli is evil, ogopa sana mtu anajionyesha ni mcha Mungu, Yesu alitufundisha unyenyekevu na siyo ukatili dhidi binadamu wengine, atalipa siku moja kwa uonevu huu dhidi ya Watanzania.
Mahakama pekee ndiyo yenye haki ya kuhukumu kwenye ya Mungu na siyo viboko, ...
Ubaguzi uko wapi hapo ? Kusema kwamba Uchumi wa Tanzania umeshikwa na Wahindi/ Waarabu ndiyo Ubaguzi mbona wewe umesema uchumi wa USA umeshikwa na Wayahudi ni Mbaguzi pia ?
Next time jaribu kuelewa kwanza kinachoongelewa au kama vipi uliza badala ya kukukurupuka tu na kuandika yasiohusiana, ...
Nafikiri labda haujaelewa maana ya hii Mada ungeuliza kwanza, sijasema kwamba hakuna matajiri weusi Tanzania, ila wachache na hawamiliki uchumi wa Tanzania kumbuka Wahindi Tanzania hawafiki laki 2 wakati sisi tuko zaidi ya milioni 45, kwa maana nyingine Wahindi tuseme labda kinadharia...
Kuna watu wana ukichaa wa kurithi na huyo Babake Diamond anaweza kuwa ni mgonjwa wa akili, acha kuingilia mambo ya ndani ya watu usiowajua, haujui kilichojili, ...
Data za Muhindi ziko recorded tangia Ukoloni, kwani ni nani alisema Wasukuma ndio kundi lenye watu wengi zaidi Tanzania ? Mnahesabiwa bila ya kujijua ulishawahi kujiuliza kwa nini unaulizwa kabila kwenye fomu za Serikali au hata Trafiki tu akikuandikia faini? Hata ukilala gesti unaulizwa kabila...
Sijasema hakuna hata Tanzania kuna Mabepari wakubwa weusi pia, lkn ni wachache sana na hawana ushawishi mkubwa kwenye uchumi kama Wahindi, Wahindi wanamiliki sekta strategic karibia zote kuanzia Utalii hapa naongelea kuanzia kampuni kubwa za Utalii za safari mpaka beach hotels ni Wahindi, Media...
Mfano nilifika Ghana, kule nako ni yale yale kuna Walebanoni ndiyo Wahindi wao, Uchumi wote uko chini ya Walebanoni, kusema kwamba Watanzania weusi ndiyo wanaomiliki Kampuni kubwa za Wahindi/ Waarabu kwa kujificha hilo sikubaliani nalo ila ninachojua wanakuwa na shea kidogo au hata wanapewa...
Ni kila sekta, hata Ujenzi Kampuni kubwa sasa hivi na inayoaminika ya Ujenzi ni Estim, ni ya Wahindi, hawa ndiyo wanaojenga majengo makubwa ya NHC & Co. , ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.