Kweli haters hamkosekani msosi gani na wapi ulipo kula? Hahaha karibu mbeya kwa mchele tu hata kama hujala wali wenyewe utakuwa umeshiba harufu tu. Weka umbeya wako na majungu yako pembeni na kisha nitajie TANZANIA hii mchele bora unatoka wapi.?!
Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
Hukandii ila ukweli unakandia na hukijui unachokisema. Wewe mbeya ipi ya zamani unayoijua ambayo emeharibika na ni kitu gani kipya kilicho iharibu hiyo mbeya ya zamani yako unayo isema.?
Mchawi humtambua mchawi mwenzake. Hivyo nakusihi na wewe acha uchawi. Mkuu kuhusu lugha ni kwamba fikra sahihi huja kwa lugha sahihi na ndiyo maana. Sasa mnataka lufha yetu tukaongelee chooni.?! China leo wanazidi endelea nyenzo yao kuu ni kutumia lugha yao. shida yenu ni kutawaliwa na mawazo...
Usiongee kitu usicho kijua wewe hebu niambie mtaa upi mbeya ukakatiza ukasikia harufu ya mavi au samaki kama dsm?! Nitajie barabara japo moja tu unayosema imekaa kiboya.?!
Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
Mjibu tu kifupi wanyakyusa nao wapo kwingine kupiga pesa na hawajui tu ngoja niwakumbushe.
1. Mwasapila SAMUNGE
2. Bahati Bukuku
3. Bony Mwaitege
4. Lusekelo
5. NK
Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
Ah kumbe unajua mbeya ni jiji na moja ya sababu unaijua. Haya twende social services zipi twende na uhalisia mkuu
Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
Tunadumisha utamaduni wewe zamani tulipeana taarifa kwa sauti ng'ambo moja hadi ng'ambo ingine sasa we unashangaa kwenye daladala moja.?!
Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.