MTUI said, naomba kukuuliza huyo ndugu yako anayefanya kazi serikalini kwa mshahara wa laki sita na nusu yuko kitengo gani?
naomba nikukumbushe kabla ya kulinganisha mshahara usiangalie kazi.
kuna kazi wanapata mshahara mdogo lakini malupulupu usipime.
Kazi ya ualimu hutashika pesa mwanzo...
Yehodayo, naomba nikuulize wewe professional yako ni ya kitu gani?
Kwa hakika utakuwa unachanganya vitu.
ninadhani unafikiri kufundisha ni sawa na kutengeneza kitanda ambapo bei huendana na uzuri wa kitanda.
au unadhani kufundisha mwanafunzi ni sawa na kufundisha gwalide ambapo utamuona...
Hivi mnafahamu kuwa kuna tiba mbadala zinaweza kutibu mfupa uliovunjika kabisa ambao hospitalini hauwezekani?
Dr. Mwaka anaweza kuwa a?a mapungufu lkn ana mchango mkubwa kwa wenye ugumba.
ikumbukwe aliwahi kufungiwa akina mama wakalalamika.
kwa hiyo wapo wanaofurahia tiba zake...
kaka sikubaliani na wewe hata kidogo, kwanza nadhani service charge zingefutwa kwa kila huduma yenye aina hiyo ya gharama.
Je, kwenye daradara unalipa servirce charge?
ukisafiri na basi au na ndegeunalipa service charge?
shirika linazalisha linauza unit, litumie pesa hizo hizo wanazouza...
Habari za jioni,
Mheshimiwa prof Muhongo nakupongeza sana sana kwa kuteuliwa kwako kuwa waziri tena wa nishati na madini. Wewe ni kiongozi bora mwenye weredi wa hali ya juu.
Unapoanza kazi yako, nakuomba mkuu usisahau kuangalia upya bei ya umeme, iko juu mheshimiwa. Wananchi wa hali ya chini...
Shikula ushinye katika ubora wako, wewe utakuw? MKG unashikula kisha una shinya ha ha ha ha haa.
uko vizuri, walizoea kujipangia wanavyotaka. ada kila mwaka wanapandisha.
halafu salary utaukuta hawapandishi.
ila hawa bado wajanja, wanaweza wakaacha ada kama ilivyoelekezwa na serikali...
Nyongeza ni kwamba shule za private zinakosa in service training kwa walimu wake.
short courses.
unakuta mwalimu anakaa miaka hata 5 hajawahi kwenda semina yoyote ya kuboresha kazi yake.
wengine hawana uzoefu na vitu vipya.
ila tu niseme kukariri ni njia ya kumfanya mtu ajifunze...
Samahani mleta mada nikuulize haya mambo wewe ulijifunzia wapi?
na je? hilo jini ukiwa nalo ndio maisha yako yote? au unaweza kulirudisha?
Na je, ukiwa nalo Kanisani utaenda? Kama ukiwasha TB joshua TV hutadondoka?
mchungaji akihubili hutaanguka?
Je, wewe binafsi umeshawahi kuliomba...
Angefuta na chai maofsini, mbona walimu wanatumia mishahara yao kwa ajiri ya chai?
Ila nime 'note' kitu hapa, mnafurahi wengine kwa kuwa siyo nyie wenye hizo opportunity. Mnawaombea njaa.
pongezi kwa hoja ya KIELIMU
MIMI nadhani tuungane na mheshimiwa kwa elimu bure mpaka kidato cha nne.
lakini ili elimu iwe bora inabidi mkakati madhubuti wa kupandisha jamasa ya walimu.molari ya walimu ipewe kipaumbele,ili walimu wajitume wai own kazi, hapo tutapata elimu bora.
Aisee we ni creative sana, nakupa tano.
Hapo lazima utafute wafadhili kisha unasimamia malezi ya watoto.
Faida: utaokoa watoto na bado uta create ajira kwa watu wengine
Una akili sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.