You will never die free Wewe si witch hunter now its your turn to be hunted..... Halafu Hayao matumizi mbaya ya msemo damn shit wait to "chewed" with you actions Hunteer 🤣🤣🤣
Hawajapotea bado ... Weekend nenda Machimbo ya mchanga huko Dondwe, Magereza, Katembee Msanga Zalala kule peku uje na habari hapa sehemu zote hizo zipo Mbele ya Chanika...
Tembelea mule zinapotembea big truck kuna vumbi fulani laiiniii ngano ya bakhresa sio laini ile 🤣
Nilitaka kuandika hivi hivi mkuu....tukio nchi amefanyiwa hivi ajitafakari Sana kama kiongozi.
Na hao wamempa sababu ya watu wao wauza vyombo mtaani waendelee kuwepoo 😂🤣
Kungunin are very smart cause they don't stay far from their food thus why ukilala tu chap bite ukiwasha taa tu unamkuta anamalizia wowoo lake kuingia vichakani au humwoni kabisa.
Wale bwana hawakai Mezani Bali kitandani na Kuta zakaribu na kitanda na kama kuna MTU halali kwenye Kochi humkuti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.