Hakuna kazi ngumu km kutetea ujinga yaani yakupasa nawe uwe mjinga ndiyo utaweza kujinya unatetea. Si km hajui vyote anavyokaa kimya ila yeye mwenyewe hujishangaa na kujiuliza kipi niongee angal hapo sipo upande wa haki. Hvy ndivyo ilivyo hata kwa AG anajua kabisa hapa sipo sahihi ila napigania...
Mkuu... Kama una mwili mkubwa yani ni bonge na una mapaja manene jitahidi kufanya mazoez ili upunguze mapaja mana mi awali nlikuwa na tatizo kama lako la kutoa harufu ila nilikuja gundua ni hali yangu ya unene hivyo nkaanza fanya mazoezi asubuhi na jioni hadi mwili wangu ulivyokuwa wa wastani...
Enzi za JK vitu kama hivi vilikuwepo ila habar zilikuwa hazitufikii kwa wakati ila siku hizi kila mtu muandishi hivyo ni rahisi kupata taarifa mara tu litokeapo.
Kama kuna geti inamana watu wasiojulikana walifunguliwa wakaingia kisha wakafanya tukio na baada ya hapo wakafunguliwa wakapita na kutokomea kusikojulikana.... Hii ndio TANZANIA
si sisiemu si sidiem ila ni MKEREKETWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.