Wadau mtoa taarifa kapotosha sio vitanda 500 ni 300 na magodoro 300..mtu kama hujui kitu usikurupuke na kuongea tu bila kuwa na hakika na uandikacho..Asanteni
Natumai tuu wazima wana MMU...baada ya kupata lunch hebu tuidadavue hii topic kipi bora kati ya Gubu na Kununa katika Ndoa au maisha ya Unyumba?
Karibuni!!!👏👏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.