Wengine tarehe hiyo ndiyo wanaanza mfungo wa kwaresima kati yao wengine wanapakwa majivu usoni kukumbushwa kuwa mwanadamu ni mavumbi na mavumbi atayarudia na wanaambiwa kufunga siku hiyo
Juzi nilikuwa natoka Singida kwenda Bariadi niliona taa za kuongozea magari pale Igunga mjini na Maswa mjini kwa Nzega mjini sijui maana tulipita barabara ya mzunguko
Gari ni suzuki escudo automatic transmission gari hii niliisimamisha mwaka mzima kwa tatizo la gear zilikuwa zinaslip hivi karibuni nilitaka nilifufue gari hili na kabla ya kufungua gearbox nilikuta coil moja imekufa pia fuel pump ilikuwa imekufa baada ya kufanya replacement ya vitu hivyo gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.