Ukilala ukiamka, ukila ukishiba, ukinya ukimaliza basi utaanza kuwasema UKAWA.
Back to the point, Lowassa wa leo si Lowassa wa miaka 8 iliyopita, you are judging the different person. As u know people change, every saint got a past and every sinner has a future, only God can judge us all coz...
Habari wanaJF, nawapenda, nawakubali sana.
Najua humu kuna watu wa aina tofauti,na wamebarikiwa kitofauti, so every one's view is special and important to me!
Me ni jinsia ya 'KE' umri 24+ mwajiriwa serikalini, mshahara not less than mia5 Tshs, sina familia, bado naishi kwetu. Nataka nichukue...
Moyo unauma sana kisa hanitaki tena, sijajua kama ni hasira au ameamua kabisa sababu ya msingi siioni, ila ndo kaniblacklist, bad enough I was so committed na nilimpenda kwa Moyo wote kabisa, nikampa heshima zote anazostahili mume, I wish to move on but sina uhakika if I can love again, my heart...
Aliyekuwa mkuu wa chuo ya Ualimu Morogoro zamani kikijulikana kama Kigurunyembe, Mayombo Ngonyani amefariki dunia ghafla jana usiku.
Msiba upo nyumbani kwake Bigwa, Morogoro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.