Kitendo chenu cha kuwahi kufunga usajili hasa wa mbio za halfmarathon kwa kusema ticket zimeisha mapema ni cha kizembe na kukatisha watu tamaa, mkumbuke kuwa haya malalamiko yameanza tokea mwaka juzi kwa washiriki lukuki kukosa nafasi ya kujisajili.
Mjue kuwa huu mchezo umetokea kupendwa miaka...
Heshima kwenu wanaJF,
Kama mada inavyosema hapo juu,
Kwa muda mrefu kumekuwa na hii dhana potofu kwa baadhi ya wanaume wenzangu kuwa kumteka hisia mwanamke kimapenzi ni lazima uwe na fedha/mali za kukufanya uonekane upo daraja fulani la juu.
Kwa upande wangu napingana na hii dhana na niseme...
Kwa muda mrefu nimewahi kusikia hadithi kadhaa kuwahusu hii jamii/kabila la Wandorobo japo katika kutembea kwangu mbugani sikuwahi bahatika kukutana na hawa jamaa. Ingekuwa vizuri kwa wenye uelewa kuwahusu hawa wazee wa pori japo watupe ufahamu kidogo.
Heshima kwenu wadau, ningependa kupata muongozo wa hii biashara ya bookshop kwa wenye uelewa nayo niweze kujua mambo kadhaa. Ni wapi naweza pata mzigo kwa bei poa. Ni vitabu gani hasa natakiwa kuwa navyo.Napia nahitaji kujua kuwa changamoto zake ni zipi hasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.