Wakuu habari. Ninahitaji msaada kidogo nasikia kuna viwanda vinanunua tangawizi ghafi. Kwa dar kiwanda hicho kiko sehemu gani? Na vipi bei zake zikoje? Na mzgo wanahitaji uliosagwa au ambao bado? Kwa aliyetayari naomba tuwasiliane 0766570614
KUHUSU KINACHOJILI MITANDAONI KUHUSU ZITTO.
Nimekuwa nikifuatilia japo si mda wote maoni ya wadau mbalimbali
mtandaoni kuhusu kinachojili hususani hatima ya zito kisiasa, na hatima ya
ubunge. kweli dunia imejaa watu wa aina zote, kuna watu wana huruma
ila hawana ufahamu, kuna watu wana ufahamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.