So unashauri Taifa lisiwe na walimu?
Kwamba ualimu Hakuna umuhimu haha haha kama wote watasoma wakawa na mawazo ya kupata vx basi Hakuna maana ya Maisha na hujui maana ya maisha (hujui kwanini unaishi) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jitafakari
Kwa maana hiyo Dini yako itakuwa mbovu na unaprove wazazi wako walikuwa wrong kukukuza kwenye maadili ya Dini yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]so unaenda kuprove kwa wakwezako ulikotoka hujalelewa kwenye maadili[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nilivyoandika je uwepo wa Kiki hasa kwa wasanii wetu wakubwa ni agenda na mikakati ya serikali kupambana na mitandao ya kijamii?
Mfano uwepo wa agenda nyeti za kujadiliwa na nchi hasa kuanza kwa bunge kumekuwa na mlolongo wa matukio ambayo binafsi Naona ni plan ya serikali ili kuwapumbaza...
Hivi ni lugha sahihi kusema acacia wanatuibia au wametuibia?[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] tusijifanye hatuoni yaaani MTU kaja na ukampa mwenyewe halafu unasema mwizi hii ipo Tanzania tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sifa kuu ya CCM :
1: Usiwe mjuaji wa ukweli
2: Uropokaji bila hoja ni sifa kuu
3: Kabla ya kuongea utumbo tanguliza kushambulia upinzani unaruhusiwa pia kuattack physically
4: Uwe mjua matusi hata kama ukatukana nchi nzima utashangiliwa
5: Ujue kuiba popote ulipo
6: Usomi siyo kigezo kikuu jua...
Lisu ana akili kuliko watanzania wengi hasa wanaoamini CCM ina nia njema na nchi hii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa sheria hizo zilipitishwa na upinzani?
Kama upinzani hauna nguvu ya kupitisha ( idadi ndogo) sheria unategemea nn?
Malalamiko ya Lisu ni...
Unabariki unajishi kwa kudhani upande unaolalamika na kuonewa ndo wenye mapungufu na kosa lao kulalamika huku ukiwashauri waendelee kutangaza amani hata kama wanaumizwa
Unawaunga mkono waharifu et kwa vile wao ni waharifu ila wanatangaza amani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.