Kuna jamaa yangu washkaji zake walikuwa na baba yao mzee kweli alikuwa anaugua sana na wakaplan mazishi maana walijua hatachukua week kadhaa.
Kilichotokea ni kuwa yule mzee alikuwa anaibuka ghafla anaomba ugali mkubwa na samaki na anaomba nyongeza.
Hali hiyo iliendelea miaka miwili mpaka...
Youtube..
1. Kurzgesagt - In a nutshell
2. Free Documentary
3. The Engineering Mindset
4. The Stoic Community
5. Aperture
6. DIY Garden Ideas
7. Histographics
8. Kento Bento
9. Vice Life
10. The Infographics Show
11. Medieval Madness
12. Thomas Schwenke
Reddit ni forum kama Jamii Forums. Yani...
Kabla yakuandika ungesikiliza au kusoma kwanza maelezo ya jeshi la polisi kisha sasa kama una akili timamu uje uandike huu upuuzi ulioandika. Kiujumla maelezo ya jeshi la polisi ndio yana mkanganyiko na ndio maana watu wenye akili tunahoji inakuwaje?
Polisi Tanzania ni aibu kubwa kabisa. Ina maana jeshi lote limejaa wajinga tu? Hakuna angalau watu wenye ku reason kwa kutumia logic? Je hakuna wenye ufahamu wa utawala wa kisheria?
Kuna mambo jeshi la polisi wanafanya yanakufanya ujiulize maswali mengi ya kukera.
Tumia akili kidogo basi. Hivi unaijua jiografia hata ya hii nchi? Bwawa la Nyerere limelaumiwa kuwa ni sababu ys mafuriko huko Rufiji. Sasa Rufiji na Ifakara wapi na wapi?
Mkiandika muwe mnatumia akili
You don't make sense. You mean they shouldn't raise their voices for fear of not getting chances of being appointed to take a public office? You mean they will ruin their chances of occupying a public office just because the police have slapped false accusations on them?
Your thinking is of a...
Youtube.
Infact situmii kitu social network nyingine zaidi ya JF, Reddit na Youtube. Jambo la msingi ni kuwa situmii kuangalia ujinga bali huwa najifunza mambo mengi sana kwenye channels za maana.
Hukawii kusikia Murilo akiita press kusema kuwa katika upekuzi wamefanikiwa kukamata kilo nne za cocaine, bunduki mbili aina ya AK47 na nyingine gobore la kienyeji na magazine yenye risasi 13 nyumbani kwa Malisa pale Old Moshi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.