Team nyingi za ligi kuu hazimikili viwanja vyao...vingi ni vya ccm.
Ila Rais alisema viwanja vifanyiwe matengenezo na kama wakishindwa wavikabidhi kwa watu binafsi
Sheria ya nchi gani hiyo jamaa?!
Azam media si mdhamini wa ligi upande wa "Haki za matangazo"!!!?
South Africa kuna Super Sport fc na ligi yao inadhaminiwa na DStv mbona imewezekana au hiyo ni sheria ya TFF peke yake?!
Watanzania kwa ujuaji ni kiboko yaani we hata kiingereza hujui unajifanya unajua nyie ndio mnapotosha watu mitaani kwa ujuaji wenu.
Hiyo debut haimaanishi pambano lake la mwisho Bali pambano lake la kwanza alicheza 2009 punguani wewe
Ngumi ni biashara we unadhani wanapigana kupata sifa baadae waje kuteseka na magonjwa sugu uzeeni...angalia rank ya huyo bondia hapo anashika nafasi ya 40 duniani kati ya mabondia 1691 wa uzito wake.
Mwakinyo anashika nafasi ya 24 kwa hiyo kumpiga huyu anazidi kujitengenezea record yake na...
We ulikuwa unamjua Manara kabla ajawa msemaji wa Simba?!umejuaje kama alikuwa Simba hapo kabla?!
Baba ake mzazi mzee Sunday Manara alishasema Haji ni kijana wetu wa Yanga na tumemlea wenyewe wewe unapingana na baba ake mzazi?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.