Hii ni moja ya kauli ambazo sizipenda kabisa, hii inafanana na kauli nyingine nisiyoipenda kuisikia ya mfumo dume. On the global called earth, we don't have weak or strong women/woman, there is no weak or strong men/man. Ila wapo wanawake na wanaume. Mengine ya kukera yamezalishwa na watu...
AAAAAAA Nimefurahia kukuona baada ya siku tele. Najua umenisahau ila mimi sijakusahau. Kilichofanya nisikusahau ni tabia yako ya kunibishia. Niliwahi kukuambia kuwa bei ya umeme haitashuka. Ulinibishia sana tena ukaniona ni msaliti nisiyewatakia mema viongozi wa wakati ule. Nikashikilia msimamo...
Kwenye hili la kufunga, mimi huwa sielewi jambo. Najua kufunga ni moja ya ibada muhimu akatika nguzo za dini ya Kiislamu. Ila jambo ambalo silielewi na nadhani huenda itanichukua muda mrefu kupata uelewa, ni suala la mtu kufunga, ila anakasirishwa na mtu anayekula mbele yake. Mimi nikila mbele...
Hakuna anayemsema vibaya. Jipe kazi ya kufanya na kutafuta habari juu ya nguvu za kifo.
Utakayokutana nayo yatakushangaza sana. Kifo kina nguvu kubwa sana. Mwenye kuamua nini kisemwe na nini kisisemwe ni matendo yako. Toka lini Musolini, Hitler, Idd Amini, Savimbi wameongelewa positively...
Naomba tu, inakuwaje mbwa koko ambaye hana thamani machoni pa watu, akae pamoja na wafalme?
Hebu naomba tuoneshe picha zako wewe ambaye sio mbwa koko ukiwa katikati pamoja na wafalme.
Hii comment yako ni ushahidi tosha kuwa mambo mengi ya ulimwengu wa roho, huyajui, Hata nguvu ulizo nazo kuna uwezekano ukawa huzijui. Michoro mwilini ni hatari kwako, kwani sio ubunifu wa kimbingu but from the devil himself. Ukichora unaweka bikoni mwilini (unakuwa lango la kuingilia). Wala...
sasa pale kwenye TV, ni kituo cha sala cha RC, mpaka unaanza kufananisha. Kule RC ni utaratibu wa ibada kwa misingi yao ya kiimani. Tuwe wakweli ubunifu wa waandishi wetu wa TV uko chini sana
mtoa post sema ukweli, mimi ni CCM. Tanzania hatuna uwanja sawa wa kisiasa. Mtu anatoka golini kwake hakutani na mkabaji yeyote, anafunga halafu, unamsifu kuwa ni mchezaji mzuri kwa kipimo gani? Mtoa post jizoeze kujiuliza maswali magumu
asante kwa article nzuri. Wakubwa hawataki kipimo cha dhahabu, Tanzanite wala Almasi, maana kinavuruga biashara zao. Hata hivyo nauliza, ni nani alishusha thamani ya hela yetu?
Sheria na kanuni, bado zinafanyiwa kazi kwa mkopo wa mtu mmoja mmoja.
Wanaolalamika kuwa wanakosa wakiona, tatizo sio maombi. Maombi yakiwa mengi wapo watakaopata na watakapata. Maafisa Maendeleo ya Jamii ndiyo wanaohusika na mikopo hii. Mikopo hii, haina upendeleo.
Vijana muwe waaminifu...
sio fear, wala shangazi yake hofu. Kanuni iko wazi. Yupo mpendwa anayeitwa uzao wa laana. Angalia hata analysis yako iko very negative about your dad. Wewe ni nani hata umuhukumu BABA YAKO, eti unatoa maksi C. Well, kanuni iko wazi, kuna gharama. Angalia wanao nao watakupatia maksi hizo, na sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.