Habari wana Jf,, kuna rafiki yangu amenitumia textmessage' hii nanukuu: "Kuna mtu amenipigia simu anaitwa Abdala Tito eti anasema kesho niende kwenye usahili posta (dar) UTUMISHI wanatoa ajira kwa watu maalum (ambao ni walimu 'graduates' ambao wataajiriwa kama watumishi ktk idara ya elimu...
Mwanamke kapewa darja la juu kuliko mwanamume. Kwanza kabisa ktk quran kuna sura ya wanawake (surat an nisa yenye aya 177) hakuna surat al rijal hilo ni darja kubwa kabisa kwa mwanamke kwa anayejua uzito wa kitabu hiki kitakatifu,, Kaisome sura hiyo hususan ktk aya 128,, 125,,35,, 20,, 6 na 5...
Sio wivu bali ni kumuepusha na vishawishi,, uislam umempa mwanamke darja ya juu sana kulinganisha na mwanamume,, hivyo hao wanamume mnaowaona masokoni wakinunua mahitaji ya nyumbani ni miongoni mwa majukumu ambayo mwanamume yambidi ayatekeleze kwa familia yake. Tukiachilia mbali hilo mwanamume...
Ndenjera jet,, mwanadada yupo makini mnoo na uendeshaji wake na hata huduma zao wako vizuri sana. Siku nilipopanda gari hiyo nilisahau kabisa kama kuna kitu kinaitwa ajali chaweza kutokea!!. Tangu siku hiyo hii sijawah kufikiria kupanda basi lingne kwa route za dar - mby labda tu lisiwepo. Big...
Mkuu kama u mfatiliaji mzuri wa taarifa za habari za startv hususani usiku basi unafursa nzuri ya kuliona hilo tangazo,, kwa mtazamo wangu tangazo hilo litakuwa ni brand new maana kwa mara ya kwanza nimeliona jana.
Kwa kifupi tangazo halina hadhi na kibaya zaid haliendani na kusudio husika.
Habari wadau,
Nimeshangazwa sana na tangazo la kukinadi CHUO KIKUU CHA MTAKATIFU JOSEPH linalorushwa na kituo cha televishen cha Startv,,
Tangazo halina kichwa wala miguu,, maudhui yake hayaendan na uhalisia wa tangazo tajwa,, wimbo unaoelezea tangazo hilo ni mbayaa kupindukia utadhan...
Mke kujiremba kwa minajili ya kuionesha jamii yake kiukweli haiko njema muhimu afanye hayo kwaajili ya mumewe tu na kama mume hayataki hayo mambo vema mke ukatii lakin tukumbuke kuna tofauti kubwa kati ya kujiremba na kuwa nadhifu. Unaweza kuwa nadhifu bila hata kujipodoa hususan kwa arficial...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.