Habari
Mimi pia nimevutiwa sana na hii biashara ya forex baada ya kuattend semina moja iliyofanyika Belmont Hotel hapa Mwanza Ila sikupata nafasi ya kujifunza kwa sababu ya shuleNaomba mnisaidie ni vitabu gani vizuri nivisome kwa ajili ya kujifunza vizuri kuhusu forex na namna ya kutrad kwa...
Habarini wana JF
nimechaguliwa NIT automobile ila ninataka kubadili nisome mechanical engineering kwa sababu siijui vizuri automobile naombeni ushauri wenu ipi kati ya hizo mbili ni nzuri na ina future poa kabisa
Habarini za asubuhi wana JF
mimi nimechaguliwa Automobile engineering pale NIT Dar lakini kwa kuwa sina ufahamu mzuri kuhusu hiyo kozi nataka kubadilisha nikasome mechanical naomba ushauri wenu ni kozi ipi ambayo ni nzuri yaani future yake iko poa
pia kuhusu mkopo ukibadilisha kozi je inashida...
Wakuu naomba msaada WA jinsi ya kuapply scholarship kwa ajili ya medicine nchi yoyote ambayo maisha yake sio ya juu sana namaliza form 6 2018 mwezi WA tano
Padri Mcharo,
Mkubwa Tumia Ustaarabu unapoongea kuhusu dini za watu sio kama vile unazungumzia siasa
tabia yetu sisi binadamu huwa tuna focus kwenye makosa siku zote na hatuangalii yale mema yanayofanyika em tutumieni upeo WA fikra yakinifu tulizonazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.