ishanitokea na tulihangaika sana na hizo grip water,mafuta ya samak n.k,ukwel ni kama alivyosema mkuu fidelis,tatizo ni tumbo kujaa ges,mtoto alizoea kula kupitia mama,sasa ananyonya mwenyewe ni tatizo,itamchukua mwez 1 had 2 atakuwa vzr ni kawaida.imani yako pia ihusike mkuu dunia hii ina...
Na kwa alvyo ongea kwa mcctizo na kumpamba ucje shangaa huyu mchumia tumbo nae akapewa u DC:what::what::what:kaul yake ni ya kujitongozesha sana kama wale wadada wa mori
Huku mtaan kwanga hata bajaj haipiti ndo itakuwa hilo gari la fire?uko sahihi serikali iboreshe miundombinu ikiwa ni pamoja na mpangilio sahihi wa makazi.
Kumbe ukiwa na elfu99 ya kununua dstv na kumudu kulipa elfu 17 kwa mwez we tajir!!subir waone hizo hela zinavyoteketeaga na kubaki jina tu ndo wataamini ni mchezo wa kishetan!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.