Habari wana jamvi, nina simu aina ya Samsung nilikuwa niliuziwa na mtu, kwa bahati mbaya hii simu kumbe ni zile za mkopo za M Koba Ya Uganda, nimekuwa natumia vzr lakn leo imejifunga na inaomba kulipiwa bahati mbaya mm sijui hizo namba za kulipia za Uganda, km kuna mtu anaweza kujua namna ya...
Kuna ambae amefanikiwa kupata dream league 2020 maake mimi nimeipata kwenye apkpure lakini inaniomba mpk niidowanlod kwenye play store, kama kuna mwenye maujanja zaidi anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba mwenye kujua bima ya bei nafuu anijulishe, kwani nimenenda NHIF kikweli bei zao zipo juu sana.
Naomba mwenye kujua anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua wengi humu ni wadau wakubwa wa Clouds Media Group CMG, Hivyo nimeamua kuanzisha uzi huu uwe mahususi kwa ajili ya wadau waote wa Clouds popote walipo duniani, chochote kile ulichonacho kuhusu Clouds sio mbaya ukakiandika hapa.
Kumbuka hii Redio ilianzishwa December 2 Mwaka 1999 hvyo huu ni...
Habari zenu wana jukwaa, i hope mko poa.
Mimi nina tatizo moja simu yangu aina ya techno h6 camera yake imegoma kufanya kazi kila nikienda kwenye camera inaniandikia hivi Can not connect to camera sasa nashindwa kuelewa tatizo nini, kama kuna mwenye kufahamu tatizo hilo linatatuliwa vipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.