Huyu hakuelewa swali, ndio maana amelijibu kwa kujiamini akiamini amelielewa swali.. Coz kwa accuracy hiyo ya shooting angeelewa swali bado angefanya vizuri( Kiufupi hakueleweshwa yupi ni yupi, lakini shabaha anayo)
Alikosa wa kula nae na kuengea nae kweli!? Una maongezi gani chanya ya kumuongezea japo mia mfukoni mtoto wa form 4!? Kiufupi mtoko uliutamani but ukawa bahili wa kipochi manyoyaa
Maisha aliyojitolea kuyaokoa ya watu zaidi ya 20 yana thamani kuliko hata PhD.. Tusipojifunza kutiana mioyo kwa mambo mema tutaelekea kule kwenye kuwa wachawi bila tunguli...
Ukiangalia kwa lakini media nyingine hizo ziliwahi kufungiwa kwa muktadha wa kisasa na si wa kimaadili.. Kimaadili is revesable but wa kisiasa ni other issue hasa kwa African countries
Cha hakika na nilichokiona na kukishuhudia ni uhatari wa kula ndizi nyingi hasa zile ndogo ( kisukari) na Coca-Cola, unakufa huku unajiona, yule mtu ashukuru alitokea mtu akatoa wazo la kula karanga mbichi na dagaa pamoja na mafuta ya kula akaanza kutapika, hata hivyo alipata nafuu akaenda...
Heri aenezae habari njema na zenye tija, sasa ulitaka aeleze mapungufu ili iweje.. Mwenzako kaona mema kayasema, wewe unayeona mabaya yaseme na uyatolee ufumbuzi basi
Hospital ilipangwa kujengwa tangu miaka ya sabini bali haikujengwa mpaka awamu ya Magufuli, hizo awamu nyingine wananchi walikuwa hawalipi kodi!?? Je, kushukuru ni tabia njema au mbaya!? Unapokula chakula nyumbani ukasema asante kwani sio haki yako kula!? Kushukuru ni tendo jema na la kutia moyo..
Jamani wadau nimehangaika na hawa watu tangu May nikiamini nimekula shavu but nimetembelea ukurasa wa UN nimekuta tahadhari kubwa mno juu ya utapeli wao.
Japo hawajafanikiwa kuniibia chochote but wamenipotezea muda sana. Na tangazo lao lilikuwa hili. Waliolipata na kujaribu kulifanyia kazi...
Neno asante lina maana njema, hakuna ubaya katika kushukuru, angalia ujuaji wako usijekufanya abunuasi mwenyewe.. Kodi zimeanza kulipwa awamu hii tu eeh!??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.