msanawa
Senior Member
- Nov 27, 2014
- 161
- 177
Jamani wadau nimehangaika na hawa watu tangu May nikiamini nimekula shavu but nimetembelea ukurasa wa UN nimekuta tahadhari kubwa mno juu ya utapeli wao.
Japo hawajafanikiwa kuniibia chochote but wamenipotezea muda sana. Na tangazo lao lilikuwa hili. Waliolipata na kujaribu kulifanyia kazi, mnaenda kuumiaa🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️
Japo hawajafanikiwa kuniibia chochote but wamenipotezea muda sana. Na tangazo lao lilikuwa hili. Waliolipata na kujaribu kulifanyia kazi, mnaenda kuumiaa🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️