Aisee amefanya transformation kubwa sana vichwani kwa wa tanzania wengi sana nikiwemo mimi nimebadilika vitu vingi sana,
Najua kwa akili yako ya slimy ya kikoloni huwezi kuelewa
Hii serekale inajua kucheza na akili za wadanganyika visuri sana.
Unaambiwa umefutiwa ada halafu unaambiwa leta gunia la mahindi, maharage, mafuta ta kula, hela ya mlinzi, nk. Ukipiga hesabu ni karibu 300,000, halafu ada iliyofutwa ni 70,000.
Si wangetoa hiuo michango tubaki na ada.
Halafu...
Nakubaliana na wewe kwamba walioifanya CCM kwenda ICU ndiyo wameeudi Chini ya upole wa mama SSH.
Ccm inaenda kuwa dhaifu lakini si dhaifu kufikia udhaifu wa upinzani.
Wapinzani bado hawajaweza kushawishi wapiga kura.
Wanacheza ngoma ya watawala. Wamekuwa ni kikundi cha kusubiri ccm kafanya...
Dah mkuu nimesoma hili bandiko lako akili yako ni kubwa sana, kama wewe ni raia tu basi una uwezo mkubwa sana wa intelligence nawaza inakuwaje walioko kwenye system wanafeli.
Matokeo yake kesi ina kuwa na mashaka mengi sana kuanzia mwanzo wake mpaka mwisho.
Serikali inajitia aibu sana.
Uko sahihi sana mkuu tena bora Hangaya angeenseleaga kukaa kimya tu kuliko alivyoanza kuongea.
Mara tunamwona jobo chamwino eti kaitwa na mama.
Mara anaaza kuchonganisha aliowatumbua na mawaziri, hivi unamweka Lukuvi ofisini kwa waziri mkuu ili afanye nini sasa, Kabudi wa watu eti anasaidia...
Kwaza unaenda duka la silaha unachagua bunduki/ bastola, then unalipia unaacha hapo, unaenda kwa Mwenyekiti wako wa kijiji anakupa barua ya utambulisho, then unaenda kwa ofisi ya mkuu wa wilaya, kuomba kibali, utajadiliwa na kamati ya Ulinzi na usalama, wakiridhika wanakupa kibali, unaenda...
Mkuu inategemea na level.
Kuna watu wanasoneshwa wakiwa kazini tayari ( yaani alishaajiriwa na serikali na tangu yuko shule alikuwa anapewa mpaka mshahara na gov. )
Yuko kazini anapelekwa kuongeza elimu na serikali. Huyu akimaliza anatakiwa aendelee palepale kwa muda huo wa angalau miaka...
Mimi ninavyojua unapokuwa na mkopo wa serikali unakuwa na mkataba labda wa miaka miwili kufanya kazi nao mpaka umalize deni then unakuwa huru kufanya kazi kokote.
Sasa kwa case ya dakitari huyu wa Tabora ni ngumu kulaumu upande wowote sababu hatujui mkataba ulikuwaje. Kama alikuwa hajamalza...
Taasisi ya Haki za Binadamu, Tanzania Human Rights-Foundation (TAHURI) imetoa tamko la kuwataka Watanzania kuungana pamoja katika vita dhidi ya Shirika la Afya Duniani, WHO na Rais Magufuli huku likiwataka wananchi kumuunga mkono Rais wao.
Akiongea na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.