Bunge lenye mchanganyiko sahihi, unaondoa upinzani bungeni kisa hautaki kukosolewa unajaza watu wako wa chama ambao wengi ni mizigo bunge linakua kama darasa la chekechea hakuna mijadala wala hoja kinzani. Nilijiuliza sana wakati wanapitisha mkataba wa bandari yaani wote wanausifia tu waliokosoa...
Yaani unawasiliana na baba mtoto bila kumshirikisha mumeo na unajua msimamo wake juu ya mawasiliano na baba mtoto apo ndio tatizo linapoanzia inaonekana dada bado alikua anampenda baba mtoto na sio mumewe iyo ni dharau mbaya na ndipo usingle mama unapoonekana jau
Kuna kitu kinaitwa pre nuptial agreement ie makubaliano kabla ya ndoa wenzetu hii kitu wanazingatia sana hasa kwa wale wanaoingia kwenye ndoa ambayo mwenza alikua na ndoa nyingine au maisha yake Sasa sisi tunachukulia suala la ndoa kihisia zaidi badala ya mantiki. Wanandoa sio ndugu wakati...
2013 jide anakataa 800k ya clouds miaka kumi badae 2013 Nature anakataa 500k ya wasafi. Wasanii wa bongo wanalipwa kidogo Sana ukilinganisha na hadhi waliyonayo
Mimi wife akiwa period anakua na nyege Sana alafu tumbo linamuuma ila nikimpiga pumbu anatulia Sana yeye mwenyewe anasema inampunguzia maumivu ya tumba na saikologia yake inatulia
Sasa ili aweze kuperform lazima hizi vitu viwe timamu ie Hormones, mishipa(damu/fahamu), akili imetulia na hisia ziko vizuri ukiondoa sababu zingine za nje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.