Biashara na makampuni ya kimataifa inabidi uwe makini sana... Mkataba kama wa Tsh 400 Million umeshindwa kutoa Tsh 4 million kwa Wakili hapo? Uweke kipengele cha uamuzi kwenye Mambo ya kibiashara wameshindwa kukulipa unakama crane, Motor Grader, Excavator na Mitambo mengine ya maana ungeona...
Woke Mind Virus... Hii kesi Mahakamani ya Rufaa imefanya Maamuzi sahihi Sana huyu Binti ni Mtu mzima kwa kujibu wa Sheria zetu.
1. Simu ilisha chaji? Alifika stendi hakuona umuhimu WA kuomba msaada WA kuchaji simu?
2. Wazazi tuwafundishe Mabinti zetu kuwa hakuna cha bure Duniani.
3. Binti kama...
Hizi kashfa zote ni deal za biashara...tuwe makini na watu wetu WA karibu why hawajafungua criminal case? Michael Jackson Sony Music walimuungia zengwe la kulawiti kwa sababu aligoma kuuza his Music Catalog kwao kwa bei ndogo.
Ukweli hakuna tajiri msafi.
Nani ana hukumu ya hii kesi awiweke hapa watu waisome waone kilichojiri Mahakamani.
2. Jamhuri bado wanaweza kwenda Mahakama ya Rufaa kama kuna sababu za msingi na Mke wa Msuya akahukumiwa kunyongwa. Mfano Bageni.
3. Kesi za Mauaji ni Ngumu Sana upande wa Jamhuri kuthibitisha kosa kwani mara...
Tausi.
Umesema hapa kuwa Kuna viwanja vya halmashauri haviingii kwenye mfumo wa Tausi kwa ajili ya kuuzwa kwa wananchi naomba uweke ushahidi ili ijulikane kuwa mfumo wa Tausi unamapungufu na developer wafanyie kazi hayo Mapungufu.
Ingia google andika nataka kununua kiwanja bila kutapeliwa/ jamii forum utapata majibu ya swali lako.
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.