Classification ilitufundisha kufanya grouping sio kukifahamu kiumbe na specification binafsi,... Labda classification ya level zingine sio zile za secondary..
Habar wadau wa elimu.
Kuna jambo hapa naomba ushirikiano wako. Hii ni kwa zile shule za sekondari sasa kuna maabara zile za masomo ya physics, chemistry na biology. Sasa kwenye hizi maabara kunatumika vifaa (apparatus) na kemikali mbalimbali kwa ajili ya mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi yaani...
Habari njema kwa wamiliki wa shule,vyuo, taasisi za tafiti, n.k
👉Tunauza apparatus aina zote ,chemicals, na vifaa vya maabara aina zote.
Kwa mashuleni,vyuoni na taasisi mbalimbali za elimu na tafiti. Tutakuletea mzigo hadi ulipo, baadhi ya vifaa na bei zake zimeambatanishwa.
👉Tunafunga mifumo...
Mtaji hapa ni kuangalia mfukoni mwako maana unaweza kuweka hat 5 M ,ila anaweza kuanza hata na 2 M, ongea na fundi akupe orodha ya vifaa vinavyobadilishwa sana kwenye pikipiki na bajaji ndio unaanza navyo kisha utaendelea kujaza na vifaa vingine kadri mtaji unavyokua, ila hakikisha huyo dogo nae...
Sikiliza kuna mtu kukushauri biashara nzuri tu hapo juu, amesema fungua duka la spare za pikipiki na bajaji, tafuta mafundi wazuri hata wawili kwenye hii biashara mafundi huwa wanajilipa kwa kufanya ufundi ila wewe unauza spare, sasa mi naongezea kwenye hili wazo kalifanye njee ya mji kidogo...
Huwezi agiza mkuu, otherwise ukasajili kampuni ya madawa, upate leseni ya kuagiza kutoka TMDA, vibali tu itakugharimu sio chini ya 2M , kisha ndio uagize kwa bei ya huko plus freight cost....
Kafanye ultra sound utapata mwafaka ila kuna kasumba ya wataalamu wa radiological diagnostic baadhi hawapo competent hivyo ni muhimu kwenda kwenye hospitali mbili tofauti kuhakiki zaidi kama yote yatasoma case sawa basi jibu ndo hilo hilo.
NB usisahau kurudi kutoa mlejesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.