Huyu ana mzungu nadhani mmearekani kama sijakosea lakini pia yuko team ya upande wake aka kama salama jabir, nadhani hapo umeelewa. Hiyo ya binti wa aliyekuwa mkuu wa Kaya inajulikana japo huyo binti naye ana mume.
Hii ndio JF, hakuna asiyejulikana habari zake.
Huyu zaidi ya kuzaliwa na silver spoon mdomoni aliwahi kufanya kazi wapi ? Na hapa nazungumzia REAL JOB na sio kusoma e-mails za Salim Ahmed Salim kama yule kijana mwingine.
Na experience yake ya kuongoza kamwongoza nani maishani mwake? Maana hata George Bush jr tunajua alikuwa mwanajeshi kisha...
Mikakati ishakamilika na kwa taarifa za uhakika kuwa friends of Membe wanakutana London siku ya Jumamosi tarehe 6.
Mkutano huo utatumika kuzindua rasmi hili kundi na pia utawapa wanachama taarifa za kiasi cha pesa ambacho kimepatikana (inasemekjana washakusanya karibu dola milioni 2 toka kwa...
Kuna ufisadi mkubwa wa BILIONI 600 sasa kuna hiki kiduchu cha BILIONI 20
Acha wala nchi waendelee kula.
===============================
Chanzo: The Citizen
Tanzanian media companies compete fiercely for readers, listeners and viewers. Increasingly, they battle for followers and likes in the social media space as well.
So who is winning?
Iko wapi ile picha aliyokwenda JAMAICA?
ATC imekufa serikali haina pesa za kuifufua
BOEING watampa story
Kufanya kazi na JK raha sana kila siku PER DIEM za Intl trips
Mimi Linda angekuwa mke wangu kazi yangu mie moja tuu...Kila baada ya miezi 9 namzalisha hakuna la zaidi na nazidi kumpenda
maana kwanza amekaaa kupendwa pendwa vileeee.
japo ni mke wa mtu lakini nita tubu tuuuu.. Usiku ukifika napiga YATHAWAAAAB THUBALAIYNAAAAAAA WAGHFIRLANAAAA YATHAWAAAAAB
narudia tena kusema hiviiii
Hawa akina Mange, na vi bushuti wenzao woooote hata wafike 2000 hawawezi kumfikia Linda kwa lolote lile
in short huwezi linganisha usiku na mchana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.