LEMONT BISHOP
Member
- Oct 29, 2014
- 85
- 88
Mikakati ishakamilika na kwa taarifa za uhakika kuwa friends of Membe wanakutana London siku ya Jumamosi tarehe 6.
Mkutano huo utatumika kuzindua rasmi hili kundi na pia utawapa wanachama taarifa za kiasi cha pesa ambacho kimepatikana (inasemekjana washakusanya karibu dola milioni 2 toka kwa watu na mashirika mbali mbali ambao washajiweka sawa kutawazwa kwa Mh Membe kuwa rais wa awamu ya Tano.
Cha ajabu ni kuwa kundo hili linaongozwa na watu waliodhaniwa kuwa ni mahasimu wakubwa wa membe (lakini kama wanavyosema kuwa kwenye siasa hakuna permanent friends au enemies bali kuna permanent interests).
Ilele kundi la FRIENDS OF LOWASSA UK liliingia kwenye mfarakano baada ya wale vijana 4 walioaminiwa na mapesa kujinunulia nyumba mortgage free huku wakisingia kuwa Fred aliwapa idhini.
Chanzo cha hii habari ni whatsapp messages toka kwa friends of Membe UK.
Mkutano huo utatumika kuzindua rasmi hili kundi na pia utawapa wanachama taarifa za kiasi cha pesa ambacho kimepatikana (inasemekjana washakusanya karibu dola milioni 2 toka kwa watu na mashirika mbali mbali ambao washajiweka sawa kutawazwa kwa Mh Membe kuwa rais wa awamu ya Tano.
Cha ajabu ni kuwa kundo hili linaongozwa na watu waliodhaniwa kuwa ni mahasimu wakubwa wa membe (lakini kama wanavyosema kuwa kwenye siasa hakuna permanent friends au enemies bali kuna permanent interests).
Ilele kundi la FRIENDS OF LOWASSA UK liliingia kwenye mfarakano baada ya wale vijana 4 walioaminiwa na mapesa kujinunulia nyumba mortgage free huku wakisingia kuwa Fred aliwapa idhini.
Chanzo cha hii habari ni whatsapp messages toka kwa friends of Membe UK.