Watanzania tuna mazingira mazuri sana ya kupiga hatua kwenda mbele zaidi ya hapa tulipo.
Lakini tatizo letu ni nidhamu katika maisha yetu, kila kitu kinafanyika kiholela holela hakuna njia thabiti za kuhakikisha sheria na taratibu zote zinafuatwa.
Barabarani bodaboda hawana nidhamu, na hakuna...
Nipo ndani ya hii industry kuliko unavyodhani na nishafanya kazi serikalini na private gap lao ni mbingu na ardhi vi system vyako unatumia codeignitor na laravel ndo unataka kutisha watu
Kutumia NMB ni kutumia mifumo ya nje?
Hiyo mifumo inayotengenezwa na wazawa kwanza inarun kwenye operating system za nje, inatengenezwa kwa programming language za nje? Hardware zake na storage zake ni za nje. Networking devices zote ni za nje.
Nitacommeny kitaalamu maana ni tasnia yangu.
Kwa Tanzania IT wa mashirika binafsi na wa serikalini ni mbingu na ardhi.
IT wanatengeneza system mbovu kuanzia user interface, nzito kuload na withoutdated technology.
Nitajie mfumo wowote wa serikali usiointegrate na private sector ulio stable.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.