Daaaah BAHATI mbaya sana mi nimekutana na walimu vilaza........ imagine unampa mwlm swal mpk anakuambia ntakupa majibu kesho............kibaya Zaid Kuna huyu wa hesabu kila siku notice hakuna kufundisha utasikia andika ukajisomeee mwenyew...........Sasa matrix na trigonometry ratio kwel...
Huyo demu hakutaki na inaonyesha wewe ni kinganganizi.....kitendo Cha kumpa mwanaume mwingn uongeee naye ni ili ujue kuwa wewe huna nafasi tena kwak...........move on brother huyo ashakuwa malaya ndoige
Mwanamke malaya ni kama Nyoka hafugikiiiiii................endelea kuhudumia danga lako kwa muda wako na yule mwingine amuhudumie kwa wakati wake......... kumbuka kupata utelezi mara kwa mara kuimarisha mahusiano
Inaonyesha ana roho mbaya Sana aiseee..... mwijaku anajidhalilisha kwa makusudi ili mkono uende kinywani afu mjinga mmoja anaomba TRA wamkague.......this is shame ase
Daaaaaah inaonyesha una roho ya hila na chuki mkuuuu........Sasa unawaelekeza TRA wakamfanyaje Sasa kama mtu ameamua kutumia hela yake kujenga ina maana amekosea nin jmn...........inauma Sana ukipata maendeleo afu mtu mmoja akatafuta namna ili ufilisiwe
👉👉 Kila kitu Huwa inatokea kwenye akili ya mtu na moyo wake jinsi alivyojiaminisha...........ukwel n kwamba huyo Binti umemuaribia maisha maana uliforce kusex naye na hakuwa na interested na wewe hapo ina maaana hukuwa na kibali ndani ya MOYO WAKE na ndo maana kitendo kile ilibakia kama MKOSI...
Huyu n Mimi kabsa......mbinu hii hii ya kujisifu na ninavyomiliki ndio ilinipa mwanya wa kumpata shemeji y'ako.......binafs nilkua naendesha trecta ya kaburu mmoja basi mi nkamfanganya ni yangu na hizi mashamba ya mpunga ni zangu pia......Mwisho wa Siku ikabaki historia tu
Hahahahahhah......umeniongelea mim kabsa kaka......hata wangu anakuwa na hiii kitabia ya kutaka kujua kila kitu in detail na ingine ndio hii anapenda Sana kuongea na simu na ndug zake kuliko ndg zangu......
✍️✍️✍️ Sio kwel kwamba yeye ni Bora Zaid ya wengn Bali tuseme tu bahati yake imekubwa kubwa kuliko wengne......ukumbuke kuna watu wenye nguvu ya ushawishi kuliko yeye lkn connection ya kujuana ikazima ndoto ya aliyestahili hiyo nafasi.............mtoa post umekosea Sana
Umeongea point kubwa sana ila umesahau kuwa kuna waliosoma course zenye kipaumbele na bado wakakosa connection............sidhan kama kuna kumuandalia mtoto future zaid ya elimu
MMkuuu
Mkuuu umenikumbsha mbali sana......enzi Hizo fm ACADEMIA na DIAMOND MUSICA ndo habari ya mjini.......wakat huo mapedesheeeeee ni watu wenye pesaaaa haswaaaaaaa sio mchezo na wakat huo pedesheee anaetajwa kwenye nyimbo wanakuwa wamemwaga notiiiii za ufadhili kwel kwel
👉👉👉 Siku moja nikiwa restaurant nmetulia Zang akaingia pisi Kali imetulia haswaaa basi mwamba nkaamua nijisogeze kidg kwak nipate kampan daaah kwel Pisi ilinielewa na kwa dakik kadhaa tu niliopoa Mtoto basi ikabidi nipange namna nakapige show na DEMU mwenyew alinipa go ahead.......nilpiga show...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.