Habari zenu wakuu.
Nina idea ya biashara ila nina changamoto ya mtaji, hivyo nimeshawishika kuingia bank kupata mkopo kwa dhamana ya nyumba yangu.. swali ni, je?
Bank gani itakuwa option bora zaidi kwa maana ya unafuu wa masharti, udogo wa riba na uharaka wa kupata mkopo wenyewe.
Natanguliza...
MNYAMA NDANI YANGU!
SEHEMU YA PILI
Na Nira Saire
Kila mtu pale alikuwa amegundua kuwa sikuwa na jibu lolote la kuwapa,baadala yake nilikuwa nikishangaa tu, hivyo wakaniacha nikapumzike kwenye hostel za shule ambapo ndipo nilipokuwa nikiishi.
Nilipofika hostel ndipo nilipokuja kugundua kuwa...
MNYAMA NDANI YANGU!
SEHEMU YA KWANZA
Na Nira Saire
Ilikuwa ni siku ya Alhamis majira ya saa nne za asubuhi nikiwa darasani nikisoma na wanafunzi wenzangu, mara hali yangu kiafya ikaanza kubadilika! Ikawa nahisi maumivu ya kichwa yakinianza polepole huku yakiambatana na kizunguzungu!. Nikaamua...
nafikiri ni muhimu sana kupendwa ila umuhimu wa kutamaniwa usidharauliwe. au wewe unaweza kuruhusu mkeo aishie kukupenda tu wewe ila akamtamani mwanaume mwingine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.