Habari wakuu,
Ni wiki sasa, nimekuwa najaribu kuwasiliana na mamlaka ya vitambulisho vya Taifa ofisi za Ukonga, Dar. Zipo namba mbili zimewekwa mtandaoni kwa ajili ya wananchi kuwasiliana na mamlaka hii kuhusu huduma za vitambulisho ikiwemo hii +255673333444 lakini namba hizi hata wewe hapo...
Wewe ulidhani dec 25 ndio birthday ya Yesu? Hapana alibambikiwa tu na watu wenye maslahi binafsi.. maana Kihistoria ya kibiblia Yesu alizaliwa katikati ya mwaka hapo sio mwishoni.
Kujifunza zaidi tembelea kanisa la Waadventista Wasabato(sda) lililo karibu yako.. ujifunze kwanini wao...
Kuna mgao mkali maeneo mengi ya miji midogo, sema kwakuwa wanaharakati na vyombo vya habari vingi vipo majijini ambako wamefumbwa macho kwa kutokatiwa umeme husikii kelele. ingawa wao wanakanusha kwa nguvu zote kwamba hakuna mgao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.