Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.
Hatukatai hayo ulosema hapo juu ila...
Pamoja na kuwa sipingi Maamuzi ya Mama yetu Samiha ila siungi mkono majitu toka ndani ya bunge la Tulia atete hili swala kwa kuwa yote yale hayakuingia bungeni kihalali na always yako kule kujaza mitumbo yao tu,
Huyu Jerry ni mshirika wa ubadirifu akiwa Meya
Sasa kwani huko umeenda kufanya research au maana hao watu unaosema umewakusanya vipi na kupata taarifa zao.
Kama ulimsikia mmoja mkiwa kaunter usi generalize maana anaweza akawa ni CAF au NCCR mageuzi
Wanachadema hawalalamiki we demu wa manzese kwa mfuga mbwa unabwabwaja yanakuhusu?
Kwa ujinga wako unadhani ardhi ya zilipo hizo ofisi zina thamani kama ya kwenu kwa mfugambwa au kwa mtogole
KCMC NA BUGANDO ni mali ya kanisa. Serikali iliwaomba waingie ubia katika kutoa huduma za kitabibu pekee na syo vifaa tiba.
Na syo bugando tu hata kuna za wilaya pia DDH ni kwa kuwa serika haikuwa na uwezo wa kuwa na infrastructures zake na uwezo wa kutoa huduma across the entire country
Mwambieni wamepita wakuu wa mikoa wengi hapa Dar kabla yake na wakaondoka.
Sasa huruma ya mama ilimrejesha ukuu wa mkoa anajisahau.
Atarudi tena kijijini kulima mahindi sababu ya Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.