Yaan long tym sana daah....matupa alienda kidugala kipindi hicho shule imebadilishwa kwenda serikalini...cjui kama bado yuko huko.Mwakajana nilionana na kp na bakari kisukari kinawasumbua kweli...sio wale wa enzi zile
kuna watu wengine janja janja wanachukua likizo lkn hawashirikishi ndugu zao........anaenda kufanya mambo yake mengine...... ww ndugu unajua mtu anaenda kazini kumbe wala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.