Wao kama wanahisi Rais kadanganya. Waje na utafiti wao. Wachukue sample hizo wapime tupate majibu.
Kusema vinafanya kazi vizuri haimanish kakanusha kua kua vinapima hata papai.
Prove it. Pia Rais alitilia mashaka watu wa maabara. Some time there is a human error.
Naomba kuuliza uhusiano baina ya Tz Bara na Zanzibar kuhusiana na suala la Sukar.
Tanzania bara sukar umekua adimu na ikipatikana inauzwa kwa bei ya juu sana.
Zanzibar sukar inapatikana kwa bei ya chini sana kilo moja 1700-2000. Na huruhusiwi kuagiza sukar toka Zanzibar kwenda Dar zaid ya kilo...
Kwasababu sijui utash wa Rais ktk iman ya Mungu wake, Lkn Nafasi ya Mungu Muumba inabaki palepale Muongozaj na Mmiliki wa yote.
Huweza tegemea Mungu pekee kupambana na Corona. Mungu amekupa Nyenzo na vitendea kazi moja wapo akili,na mali, Hivo Lazima uvitumie ktk njia ambazo yeye Muumba...
ACHA UVIVU WA KUSOMA NA KUTAFAKARI
MTOA MADA AMEZUNGUMZIA TATIZO LA KUCHUA MSTAR MMOJAA NA KUANZA KUIMBA NAO BILA HATA KUUELEWA,UNAITWA UVIVU WA KUSOMA NA UVIVU WA KUTAFAKARI
MTOA MADA KAGUSIA PEPO KWA IMAN YA WAISLAM NA MAFUNDISHO YA DINI YA KIISLAM HAYAFUNDISHI KUA LENGO LA KUKAA HAPO PALIPO...
CORONA HAIJAADHIRI WALIMU PEKEE NI IDARA ZOTE HUSUSAN SEKTA BINAFSI ZIMEADHIRIKA SANA, WENGI WAMEFUNGA BIASHARA HUSUSAN WANAOTEGEMEA USAFIRISHAJI (UTALII), UKISEMA LIPA ADA KWA SABABU SHULE ZIWEZ KUWALIPA WALIMU JE HUYO MZAZ AMBAE AMEFUKUZWA KAZI AU KUPEWA LIKIZO BILA MALIPO AU KULIPWA 30% YA...
Yes i see, i just wanted to get more clarification. Naheshimu maamuzi ya mamlaka lkn nilishangaa ndizi nikidogo sana may be kuna hatari ndani yake. Lkn last week nimepita nazo airport sikuzuiwa. Ok let this go.
Leo zimezuiwa ndizi zenye thamani ya Tzs 5,000/= Maafisa wamesema serikali imezuia uingizwaji wa ndizi toka bara sababu kuwa zina wadudu wanaosababisha maradhi. Hajafafanua maradhi hayo aina gani.
Hivyo nimelazimika kuziacha bandarini chakula changu pendwa ndizi Bukoba. Naishauri Serikali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.