Jamani tusilaumiane kabisa Black People...........................................Alipokuja Maximo Tanzania kwaajili ya kuinoa Taifa Stars tulimlaumu sana kuwa ameshindwa kutengeneza safu nzuri ya washambuliaji walio na uchu na magoli.Lakini kinachoonekana South kwa sasa kumbe huu ni ugonjwa wa...
Hao wote si waaminifu katika ndoa yao,therefore wakae pamoja wasaidiane......................................
Japo sometimes ni ngumu kuamini senario yako kaka.
"Nothing will separate us from the Love of God"
Wana Nzega plz nawaomba mrudisheni Mh.Selilii maana ni mmoja wa watu makini katika siasa za bongo zenye fitina kibao,nadhani si wakati wa nyinyi kupokea kanga na fulana oversize kutoka kwa hao wanaojiita ni watetezi wenu.Huyo Dr nadhani ni vizuri akatumia elimu yake kusaidia jamii kwa nyanja...
Is it real this man aliye tia nia tayari kang'atuka? Lakini si mpya si manakumbuka na yule aliyejifanya anatangaza nia jimbo la Mheshimiwa Lowasa nae kang'atuka.Nadhani ni kamtindo kawanasiasa watu tunapoelekea kwenye uchaguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.