Lazima wamachukie kwa sababu bei zake za nyama kubwa sn kwenye Restaurant zake sasa watu tuna tamani kula nyama zake lkn bei ndio kikwazo lazima ni kuchukie unauza nyama kama unauzia watu sijui kitu gani .
Unacho sema sio kweli kaka hao WARAAB wanamiliki kila kitu kwenye sector ya energy hakuna Beberu wa nani na ndio maana wanajeuri hata kwa AMERICA na kupa mfano mmoja tu ARAMCO co ndio the richest company in the world ambayo inamilikiwa 99% Saudi Government hii ni Energy company mifano ipo mingi...
Qatar lengo Lao ni kijitangaza kibiashara na hilo wanakwenda kufanikiwa kwa kiasi kikubwa sn kutokana na malengo waliye jiwekea hawakuanda world Cup kwa ajili ya kuonyesha wa sio magaidi wao wamefocus kwenye swala zima la kuifanya QATAR kuwa tourist destination kama ilivyo DUBAI.
Ukija kwenye...
System ya Ulinzi ni tofauti kabisa kati ya DUNIA ya kwanza na Dunia ya tatu ,pili System zao za utawala ni tofauti kabisa mfano mdogo na kupa huwezi kukuta Waziri Mkuu wa UK au Chancellor wa Germany au any Western countries leader anapo kwenda mahala fulani basi lazima mkuu wa majeshi awepo,Mkuu...
Wamechanganyikiwa (DENMARK) tayari na dhambi ya ubaguzi kawaida haimuachi mtu salama hata siku moja jamii yao inapungua kwa kasi 5G na wegeni wazaliana kupita kiasi.
Tanzania walitaifisha nyumba zote asilimia kubwa zilikuwa za wahindi japo zilikuwa na watu wengine lkn asilimia kubwa ni WAHINDI zikiwa chini ya Msajili wa Manyumba , lkn hadi leo hii NHC hakuna maendeleo yoyote wameonyesha zaidi ya matatizo na hasara.
Ukraine inaenda kuwa kama Somalia tu na ndio Russia strategic planning yake RAIA mnaishi kwa wasi wasi hujui saa ngapi BOMU litalipuka na sehemu ipi ukweli Iran ndio imebadilsha sura nzima ya vita na Dron zake zina piga kelele kama engine ya pikipiki maana zikiwa zina kuja kama NYUKI na gharama...
Watu weusi tuna shida kubwa sana siujui wapi tulikosea Mmungu atusamehe una mkuta mtu ana Ng'ombe na Mbuzi zaidi ya elf 3000 lkn maisha anayo ishi ni kama ndege anahama hama kila mahali kisa tu anatafuta Malisho na Maji huu ni uwendawazimu mkubwa kabisa sababu ukiangalia mifugo aliye kuwa nayo...
Sheria ziko wazi mbona mrithi ni mtoto au watoto wa marehemu kama MAREHEMU hakuwa na watoto mali inarithiwa na wazazi wa marehemu kama BABA au MAMA kama wapo.
Sasa hapo BIBI yako si ana watoto wawili aliye wazaa kimsingi ndio warithi halali wa nyumba ya BIBI yako na ndio wenye haki ya kurithi...
Hivi mamlaka ya hali hewa TZ huwa kazi yake nini?
NDEGE ilipo kuwa inaondoka DAR ES SALAAM kuelekea BUKUBA MARUBANI hawa kuwa na Update yoyote ya hali hewa ?
Mgawanyo upo wazi mbona hapo sema tamaa ndio italeta sintofahamu sababu mwanadamu kaumbwa na tamaa sn.
Hapo warithi ni wawili tu watoto wa (BIBI)
Mama Mkubwa na Mama Mdogo kwahiyo kama nyumba inauzwa mgawanyo ni mafungu mawili tu yanagawiwa Mama Mkubwa 50%, Mama Mdogo 50% kwihiyo sasa kama Mama...
Ningeshauri kituo kimoja cha TV Tz kituo kipindi maalum kwa ajili ya United Arab Emirates UAE kuonyesha maendeleo waliyo yapata kwa kipindi kifupi zaidi kisicho zidi miaka 50 tu kutoka NCHI iliyekuwa Jangwa hadi kufikia kwenye level ya juu kabisa kimeendeleo itasaidia kuleta INSPIRATION kwa...
Huyo jamaa kumjibu una poteza energy yako bure anaonekana ni mtu asiye kuwa na upeo wowote ule na inaweza kuwa hana exposure ya maisha kabisa anaishi maisha ya kuambiwa tu.
Ulicho kiandika hapa kina akisi ulivyo muombe Mola wako akusamehe kwani ugonjwa wowote ule umtokea mtu yeyote yule regardless na status yake ya maisha.
Kwa Mtu aliyesafiri sehemu nyingi hasa AFRICA hii ya watu weusi unaweza kusema TANZANIA ilipo kuwa Awali na ilipo sasa imepiga hatua kubwa sn japo kuwa kuna mapungufu lkn ukweli imepiga hatua kubwa sana.
Usipo kuwa na hela au kazi ya kukupa kipata sio ndugu zako tu wanakudharau hata Paka au Mbwa wanakufokea bila sababu hii ndio Dunia nakupa principle moja muhimu ukiishika hii utafanikiwa
(Be self-fish and help yourself before others).
Ukisoma Comments za watu humu na huyu aliye leta maada hii utaelewa ya kwamba WATANZANIA wengi wanamatatizo ya Psychopaths wanahitaji matibabu otherwise tuendapo huko tutakuja kushuhudia taabia za ajabu ajabu hasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.