Dodoma Makao Makuu ya Nchi,inahudumia Halmashauri 184,i.e Watumishi wa Hizo Halmashauri karibia Kila siku wapo safarini kwenda Dodoma,wanakula,wanalala,wananunua zawadi za wapendwa wao! Jumlisha Wafanyakazi wa Wizara,jumlisha Wanachuo wa UDOM,Mipango,St John,CBE,jumlisha Vyuo Vingine vya...
Lakini kigezo kikuu Cha uwepo wa Soko ni Population! Na Vijana ambao obviously wengi ni Wafanyabiashara waso na mitaji mikubwa,Dar ndo destination haswaa! Mfano ukifungua Duka la nafaka, Sababu Kuna Watu wengi wenye kipato Cha kawaida,Utauza!
Ungesema Halmashauri za Wilaya/Vijijini zenye Watu Wengi,ila ukiishia Wilaya tu,Kwa Mfano wa Geita,itabidi uchukue Watu wa Geita Mjini plus wa Geita Vijijini,the same Kwa Tarime etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.