Sasa kanisa linachimbwa kaburi ndani au vipi Mkuu, nauliza maana sijawahi kusikia hilo.
Sijawahi enda kanisa lolote nikakuta kaburi ndani yake, vipi hii ni mara ya kwanza jambo kama hilo kutokea Tanzania?
Mkuu, maelezo yako yako wazi na hatua zote ulizochukua umeziweka wazi.
nakushauri nenda TCRA kutoa malalamiko yako hayo, kama una mda wafungulie kesi Tigo, naamini utashinda na utapata mshiko wako vizuri tu.
ninachofahamu ni kwamba, hamna mtu anayeweza kufanya SIM swap kama sio muajiriwa wa...
Mkuu, mimi nilikaa na Bikira kwa miaka 27, ilitolewa na Mume ninayeishi naye pamoja na kwamba hakuweza kusubiri mpaka siku ya ndoa. Ukweli ni kwamba, siku ya kwanza unaumia sana. Mimi ilinijengea hofu fulani kwamba kufanya mapenzi kunaumiza, na niliweza kuondoa hiyo dhana baada ya zaidi ya mwaka...
Umeachana na X and Y, sasa hivi umehamia kwa R and Q?
Pole sana, utavuna ulichopanda..sioni kama una haja ya kuoa wakati bado wewe ni player Boy.
Unalofanya sasa linaweza kufanya maisha yako yote yakawa ya majuto na yasiyo na amani.
Hivi huyo R unayetaka kumuoa, siku ukijua nae ana mshikaji...
There you are..
Am facing the same issue and i was about kuomba ushauri hapa, sio tu kwamba nakua sina hamu ya kufanya mapenzi ila hata ile hali ya upendo imepungua. Distance relationship/marriage ni mbaya mno.
Mtoa mada badala ya kumfikiria mkeo kua anaku-cheat, tafuta namna ya kumpenda na...
Tatizo lenu mnapenda kutendewa mema ila sio kutenda.
Na kila siku mmekua mnaweka mada za kuwalaumu wanawake, mara wanawake hivi, mara vile hadi mnaudhi...
Utadhani Mwamamke ndio mkosaji na ndio anatakiwa kufundishwa tu katika jamii...Ebo..!
Kama upo kwenye ndoa au mahusiano...
Hujiamini tu...
Tatizo mnapenda sana kuabudiwa, mnapenda mara zote wanawake wawe chini ya miguu yenu kuomba na kubembeleza ili muwapangie na kuwanyanyasa mnanyotaka.
Nyumba ya aina hiyo mwanamke hana nafasi ya kuamua wala kupanga chochote ila Mme, sababu ana hela.
Mwsnsmke anapopata hela na...
Hiyo imani yako inakuruhusu kutongoza mwanamke/Mdada wakati una mke/mchumba itakuruhusu tu koa mke zaidi ya mmoja.
Acheni upumbavu nyie wanaume, kama una mke kwa nini unaenda kuhangaika? Wengine hata kama wana pete za ndoa wanadiriki kuzivua wakati wakiwa mawindoni..Ridhikeni na wake zenu...
Utampata atakeyekua mwaminifu na kukupenda kweli tu usikate tamaa.
Kwangu mimi, kipato has nothing to do with Mapenzi. Mtu anayependa kweli hela sio tatizo, hata njaa mtalala na atakua mwaminifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.